Italia imeichapa Liechtenstein bao 5-0 kufuzu kombe la Dunia

 
Kocha wa Italia,Gian Piero Ventura
Mechi za kufuzu fainali za kombe la Dunia 2018 hatua ya Makundi zimepigwa hapo jana jumapili ambapo Moldova imetoka sare na Georgia ya bao 2-2, Finland imechapwa bao 2-1 na Ukraine, Ireland imetoshana nguvu na Austria ya bao 1-1, Israel imechapwa bao 3-0 na
Albania, Iceland imeichapa Croatia bao 1-0 ,Macedonia imefungwa bao 2-1 na Hispania, Italy ikiibugiza Liechtenstein bao 5-0, Serbia walitoka sare na Wales ya bao 1-1 ,Kosovo imechabangwa bao 4-1 na Uturuki.

Comments