Moja ya story kubwa ambayo inaendelea kuwa gumzo na ku-make headlines kwa kuibua mijadala sehemu mbali ni kuhusu mavazi ya Jeans kwa waliookoka ambapo licha ya elimu kutolewa limeonekana kuwa gumu kwa baadhi ya watu.
christina shusho kaliongea ilo ndani ya Ayotv akisema kuwa:
\
“Jeans si dhambi japo jamii yetu bado baadhi yao hawataki kukubali. Bado wameshikilia sheria ile kwamba ni dhambi na mimi naamini kuna baadhi ya Wachungaji, Watumishi wa Mungu ambao nimezungumza nao wanafahamu ukweli kwamba si dhambi lakini shida ni walishaaminisha Waumini kwamba suruali ni dhambi.” – Christina Shusho.
christina shusho kaliongea ilo ndani ya Ayotv akisema kuwa:
\
“Jeans si dhambi japo jamii yetu bado baadhi yao hawataki kukubali. Bado wameshikilia sheria ile kwamba ni dhambi na mimi naamini kuna baadhi ya Wachungaji, Watumishi wa Mungu ambao nimezungumza nao wanafahamu ukweli kwamba si dhambi lakini shida ni walishaaminisha Waumini kwamba suruali ni dhambi.” – Christina Shusho.

Comments